TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, August 5, 2014

REDIO 5 ARUSHA GUMZO NDANI YA VIWANJA VYA 8 8 JIJINI ARUSHA

Taswira katika banda la Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha katika viwanja vya nane nane njiro ,
Katikati niMeneja masoko wa Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio5 Sarah Keiya kushoto mtangazaji wa kituo hicho Godfrey Thomas na kulia ni Dj Ibraah anayesababisha pande hizo
Dj Ibraah akifanya yake kwenye moja na mbili
Kushoto ni Goodluck Kissanga ,Godfrey Thomas watangazaji wa kituo hicho,katikati ni Meneja masoko wa Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio5 Sarah Keiya na Dj Ibraah.
 
Kampuni ya Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha kimeshiriki vyema katika maonyesho ya nane nane hivyo kuwataka watu mbalimbali kutembelea banda lao kujionea amna wanavyohabarisha jamii.
 
Meneja masoko wa Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio5 Bi. Sarah Keiya anasema kuwakituo hicho kinasaidia wakulima kwa kuwaunganisha na wadau wa kilimo kupata pembejeo za kilimo
 
“Katika kituo chetu cha Redio 5 tunavipindi viwili vinavyohusu kilimo ambacho ni AMKA na FAHARI YANGU”Vipindi hivi huwasaidia wakulima alisema Keiya.Pia katika maonyesho hayo kutakuwepo na mashindano ya kuwashindanisha waimbaji ikiwa nikuwaibua vipaji vyao na mshindi kupatiwa zawadi.
 
Hata hivyo Keiya aliwataka wafanyabishara mbalimbali kutangaza biashara zao kupitia kituo hicho cha Redio 5 kwakuwa wamepunguza bei ya matangazo kwa asilimia 50% hadi tarehe 15 mwezi huu

No comments:

Post a Comment