TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, January 29, 2012

CHAMA CHA KIJAMII CCK CHAPATA USAJILI


 Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini John Tendwa, akiwa tayari kukabidhi Cheti cha Usajili wa Kudumu kwa Chama cha Chama Cha Kijamii (CCK) Ofisini kwake jana,
Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini John Tendwa, akikabidhi Cheti cha Usajili wa Kudumu kwa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Chama Cha Kijamii (CCK) Constantine Akitanda, hafla iliyofanyika katika Ofisi za Msajili.
 Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini John Tendwa,wa tatu kushoto akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa  Chama cha Chama Cha Kijamii (CCK).
 Mwandishi wa Habari akifuatilia kwa Makini Makabidhiano hayo
Vijana wakiwa wamebeba Bango la Chama hicho
Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini John Tendwa,akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Chama Cha Kijamii (CCK).Mara bada ya kukabidhiwa Cheti hicho.

No comments:

Post a Comment