TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, February 1, 2012

MGOMO WA MADAKTARI HAPA NCHINI WAZIDI KULETA SURA MPYA


 Waziri wa Afya, Haji Mponda (kulia), akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusiana na Mgomo wa Madaktari, mazungumzo yaliyofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Taifa ya Muhimbili, kushoto ni Dkt, Laurence Museru wa Muhimbili.

 Baadhi ya wauguzi katika Hospitali ya Muhimbili wakiwajibika
 Mwenyekiti wa GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY , Askofu  Charles Gadi(kati) akiwa na wenzake 
walipotembelea Hospitali ya Muhimbili kwa lengo la kujionea hali halisi ikiwa ni pamoja na kufanya maombezi kunusuru hali ya migomo ya Madaktari hapa nchini
 Kikosin cha Madaktari kutoka Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ), Muda mfupi baada ya kuwasili katika Hospitali ya Rufaa Muhimbi, hapa walikuwa na mazungumzo na Waziri wa Afya na Waandishi wa Habari
 Baadhi ya Madaktari kutoka jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ), wakipokea wagonjwa Muhimbili
 Mgonjwa anayedaiwa kuwa wa Kichaa, akiwa katika hali ya uangalizi mkali katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili
Waziri wa Afya, Haji Mponda(kulia), akiwa na mazungumzo na baadhi ya watendaji wa Muhimbili pamoja na Madaktari kutoka jeshi la wananchi JWTZ jana.(Picha Zote na Medard Akonaay ).

No comments:

Post a Comment