TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, February 1, 2012

MAMBO MANNE YATAJWA KWENYE MKATABA WA UANZISHWAJI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

 Mkurugenzi wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Kayabukama Kiliba katikati akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam makao makuu juu ya mkataba wa uanzishwaji wa jumuiya Afrika mashariki ambao umeainisha hatua nne za mtangamano ambazo ni umoja wa forodha soko la pamoja, Umoja wa Fedha na Shirikisho la Kisiasa.kushoto Stephen Mbonde mkurugenzi msaidizi masuala ya ulinzi na usalama.kulia Mkurugenzi msaidizi masuala ya siasa Patric Mwatonoka
Mkurugenzi Msaidizi masuala ya Ulinzi na Usalama Stephen Mbonde(Kushoto)akifafanua jambo makao makuu juu ya mkataba wa uanzishwaji wa jumuiya Afrika mashariki, kati ninMkurugenzi wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Kayabukama Kiliba, na  Mkurugenzi msaidizi masuala ya siasa  Patric Mwatonoka
Baadhi ya waandishi wa Habari wakifuatilia kwa makini mazungumzo hayo leo.(Picha Zote na Philemon Solomon).

No comments:

Post a Comment