TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, February 1, 2012

FRANCIS CHEKA NA MADA MAUGO KUGOMBEA UBINGWA WA IBF RAUNDI 12 APRIL 28 PTA SABASABA

Bondia Mada Maugo akiongea na waandishi wa habari wakati wa kusaini mkataba uho leokupigania ubingwa IBF raundi 12 litakarofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba Aprili 28.(picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Bondia Francis Cheka akizungumza na waandishi wa habari leo kupigania ubingwa IBF raundi 12 litakarofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba Aprilo 28.(picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Makamu mwenyekiti wa Oganizesheni ya ngumi za Kulipwa Nchini, Madaraka Nyerere (Kushoto) akiwaelekeza mabondia Francis Cheka kulia na Mada Maugo jinsi ya kusaini mkataba wa makubaliano wa kupigania ubingwa IBF raundi 12 litakarofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba Aprilo 28.(picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Exim Bank Chairman Mr. Yogesh M. Manek (left) and the FMO, Director Financial Institutions Ruurd Brouwer all smiles shortly after signing a Memorandum Of Understanding (MOU) that saw Exim Bank secure a 16bn/- ($10m) from the Dutch development bank.
Exim Bank Chairman Mr. Yogesh M. Manek (left) and the FMO, Director Financial Institutions Ruurd Brouwer all smiles shortly after signing a Memorandum Of Understanding (MOU) that saw Exim Bank secure a 16bn/- ($10m) from the Dutch development bank.
Dar es Salaam. Febuary 1, 2012. EXIM Bank Tanzania has secured a $10 million (TSH 16bn) loan from FMO, a Dutch development bank, which is poised to set the stage for a revitalised fiscal environment in the banking sector in Tanzania.
The historic agreement was signed in Dar es Salaam yesterday between Mr. Yogesh M. Manek, Chairman, Exim Bank and Mr. Ruurd Brouwer, Director Financial Institutions, FMO.
The loan will be payable within a seven year tenure at an interest rate of six percent according to Exim Bank Chairman Yogesh M. Manek.
Speaking to journalists shortly after the signing ceremony, Manek said the loan will help find solution to the long term credit needs of Small and Medium Enterprises (SMEs) operating within the country.
“We are happy that FMO has expressed faith in us", he further added. Indeed, it’s another feather in the bank’s cap!
Manek said Exim bank’s plans are afoot to further shore up long term borrowings during the current year, pursuant to the continuous demand for long term credit in the economy, which is a positive indicator to a growing economy.
“Articulating such a financial strategy serves to put the weight of surplus monetary supply behind the growing long-term credit needs of the bank’s clients in Tanzania,” he added.
The FMO Director Financial Institutions, Mr. Ruurd Brouwer, said “Entrepreneurship is key in creating sustainable economic growth and improving people’s quality of life. We have chosen to partner with Exim because the institution has a reputable financial stand.”
“By supporting Exim’s growth, especially in SMEs and agriculture based enterprises, we believe that our contributions will have a long term impact on the country’s economic development,” he added.
He added that FMO has for many years been supporting sustainable private sector growth in developing and emerging markets by investing in enterprising entrepreneurship,
“A strong private sector leads to economic and social development; empowering people to employ their skills productively can enhance the quality of their lives
“This will not be the end of our relationship. W e are looking foward to working together with Exim Bank again,” he added.
He said FMO focuses on four sectors that have high development impact: financial institutions, energy, housing and agribusiness. With a commanding investment portfolio of EUR 5 billion, including EUR 1.5 billion worth of investment in Africa, coupled with an active presence in 20 African countries, encompassing Nigeria, Ghana and Mozambique.
Exim Bank has succeeded in establishing its dominion in the banking sector with an impressive territorial map dotted with 75 footprints, comprising 22 branches in Tanzania, 2 overseas subsidiaries in Djibouti and Comoros Island and 51 ATMS. A healthy asset size of T. Shs. 855 billion,as ascertained on 31stDec. 2011, confirms Exim Bank’s robust and flourishing status.
Extending its services globally, Exim Bank caters to the international needs of its customers through correspondent banking relationship with other international banks that include HSBC Bank, Banker’s Trust, U.S.A. and Deutsche Bank AG, London.

Ilifika wakati Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kutoa nasaha zake kwa wanafunzi wanaohitimu. Kwanza kabisa aliwaambia wanafunzi hao kuwa alikuwepo mahala hapo kwa niaba ya Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda ambaye hakuweza kuhudhuria mahafali hayo kutokana na kukabiliwa na shughuli nyingine muhimu za kiserikali.
Katika nasaha zake hizo aliwataka Wanafunzi hao kujijengea fikra za kujiajiri pindi wamalizapo masomo yao na sio kubaki kuitegemea Serikali ambayo ina mambo mengi ya kufanya. "Jitahidini muokoe maisha yenu wenyewe, mnahitaji kulea maisha yenu...Askari namba moja ni wewe kuikoa familia yako" Alisema Injinia Manyanya.
Alizungumzia pia suala la mimba za mashuleni na kusema kuwa ni kikwazo kikubwa cha maendeleo ya elimu mashuleni. Aliwaasa wanafunzi hao kusoma kwa bidii na kuwaahidi wale wote watakaopata Division One na Two atahakikisha anawasaidia kupata Shule za kujiendeleza.
Katika nasaha zake hizo aliwataka wanafunzi hao kutopumbazika na kauli za baadhi ya viongozi na wananchi kuwa eti Watanzania ni masikini. Aliwataka kutumia fursa waliyonayo katika kuhakikisha jamii inaondokana na fikra hizo na kujiendeleza zaidi kielimu waweze kuikomboa jamii ya wanarukwa.
Kwa upande mwingine aliwataka wazazi wote Mkoani Rukwa kuwasaidia watoto wao kufikia malengo ya kuwa na elimu bora. Aliomba ushirikiano kutoka kwa wazazi pamoja na waalimu ili kuiweka Rukwa katika hatua nyingine kielimu. Aliwaasa wazazi kuchangia huduma za elimu ikiwepo chakula mashuleni.
Alisema kuwa Rukwa kama Mikoa mingine inakabiliwa na tatizo la uhaba wa waalimu na kuwataka waalimu wanaopangiwa Rukwa kuondokana na fikra potofu za imani za kishirikina na kwamba Rukwa ni Mkoa salama ambao mambo hayo sasa yamebaki kuwa ni historia.
Lilifuata zoezi la ugawaji wa vyeti kwa wanafunzi wanaohitimu. Hapo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa akimkabidhi cheti mmoja ya wahitimu katika Shule hiyo.
Mkuu huyo wa shule akikabidhi taarifa yake hiyo kwa Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa.
Mkuu wa Mkoa alianza shughuli za mahafali hayo kwa kukagua Kikosi cha Gwaride la shule hiyo ambacho kilikuwa kimejipanga kikakamavu bila ya kutikisa hata kidole.
Burudani ya Muziki kutoka kwa wanafunzi wanaohitimu ilichukua nafasi yake kuweka mazingira sawiyya.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa ndiye aliyefungua Muziki ikiwa ni ratiba ya mwisho kwenye mahafli hayo. Hapo akionekana na baadhi ya wanafunzi wakivunja mifupa.
Picha ya pamoja kati ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa na wanafunzi wanaohitimu kidato cha sita 2012 shule ya Sekondari Usevya.

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Injinia Stella Manyanya akisalimiana na Mzee Kayanza Pinda wakati alipowatembelea jana kuwajulia hali. Kushoto ni Mama Kayanza Pinda ambao ni Baba na Mama wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa akiwa katika picha ya pamoja na Mzee na Bibi Kayanza Pinda ambao ni wazazi wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nyumbani kwao Kibaoni Wilayani Mpanda Mkoani Rukwa. Mkuu wa Mkoa alikuwa Wilayani hapo kumuwakilisha Waziri Mkuu kwenye mahafali ya Kidato cha sita Shule ya Sekondari Usevya.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa akitaniana na Mzee Kayanza Pinda alipokuwa anamuaga kuelekea kwenye mahafali ya Shule ya Sekondari Usevya ambapo alienda kumuwakilisha Waziri Mkuu aliyekuwa amealikwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye mahafali hayo. Miongoni mwa utani alioutoa Mzee Pinda ni pamoja na kumuita Mkuu huyo wa Mkoa "Mnyatomato" kumaanisha kuwa ni Mtoto wa Manyanya ambapo nyanya kwa kiingereza ni Tomato.  (NA HAMZA TEMBA-AFISA HABARI RUKWA)

Wakiwa na nyuso za furaha bwana harusi Samwel Daniel na mkewe Kaindi Taratibu wakiwa kwenye picha huku bwana harusi akiwa amembeba mke wake, baada ya kufunga ndoa yao katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Kibaha hivi karibuni na kufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika ukumbi wa Mbezi Luxury jijini Dar es Salaam.
Wakiwa na nyuso za furaha Bwana harusi Samwel Daniel na mkewe Kaindi Taratibu wakiwa kwenye pozi la picha baada ya kufunga ndoa yao katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Kibaha hivi karibuni na kufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika ukumbi wa Mbezi Luuiry jijini Dar es Salaam.
Bw.harusi Samwel akiwa na mkewe Kaindi wakishuka kutoka katika mlima kilimanjaro uliopo eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam, walipokwenda kufanya utalii wa ndani.Baada ya kufunga ndoa yao kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Januari 28.
Bibi Harusi akipita juu ya migongo ya wakwe zake wakati wa kuingia ukumbini ikiwa ni ishara ya kukaribishwa katika familia, kabila la Wayao .
Bw. Harusi akipita juu ya migongo ya wazazi wake wakati wa kuingia ukumbini wakati wa harusi yake iliyofanyika katika ukumbi wa Mbezi Luxiry jijini ,Dar es Salaam.utamaduni huu hufanywa na watu wa lindi kabaila la wayao.

No comments:

Post a Comment