TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, February 3, 2012

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AZINDUA KAMBI YA VIJANA WAJASILIAMALI YA MKOA WA PWANI KIJIJI CHA MSOGA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba (NHBRA), Dkt.Simon Kintingu, kuhusu utengenezaji rahisi wa mabati ya Vigae, wakati Makamu alipofika kuzindua Kambi ya Vijana 400 Wajasiliamali walioanza kambi hiyo leo kwa lengo la kujifunza utengenezaji wa vigae na ujenzi wa nyumba za bei nafuu, wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Pwani leo Februari 03,2012.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifyatua tofali ikiwa ni ishara ya kuzindua raasmi mashine hizo za kufyatulia matofali ya bei nafuu na uzinduzi wa kambi ya Vijana 400 Wajasiliamali, wakati alipofika kuzindua kambi hiyo iliyopo Kijiji cha Msoga Mkoa wa Pwani, leo Januari 03, 2012 akiwa katika ziara yake ya mkoa wa Pwani
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Mohammed Gharib Bilal, akiangalia na kusikiliza maelezo ya jinsi ya uandaaji wa tofali la bei nafuu kutoka kwa Fundi Sanifu Ujenzi, Husein Mataka,wakati alipofika kuzindua kambi ya Vijana 400 wajasiliamali iliyopo Kijiji cha Msoga Mkoa wa Pwani, leo Januari 03, 2012 akiwa katika ziara yake ya mkoa wa Pwani. 

No comments:

Post a Comment