TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, January 30, 2012

PAZI YAJIPANGA BAADA YA KUFUNGWA NA JKT

Timu ya Mpira wa Kikapu PAZI ya jijini Dar es Salaam, hivi sasa ipo kwenye uwanja wake wa nyumbani inajifua vilivyo ikiwa ni baada ya kupoteza mchezo wake wa jana dhidi ya timu ya JKT mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Ndani wa Taifa(IN-NDOOR) Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Timu hiyo, Kalemaa, pamoja na wadau mbalimbali wa timu hiyo maarufu kama wazee wa chama wapo muda huu katika uwanja wa Tanesco Drive in kwa lengo la kupanga mikakati ya kufanikisha ushindi katika michezo mingine iliyosalia.
"timu yetu ni nzuri sana na tumefanya mabadiliko makubwa kwenye usajili wetu safari hii isipikuwa kufungwa ni moja ya mchezo na tutahakikisha tunapigana kufa na kupona hadi tufanikiwe kutwa ubingwa kwa mwaka huu"alisema Kalemaa
kwa mujibu wa kalemaa timu hiyo ilipoteza mchezo huo wa jana kutokana na wachezaji wake wengi kuwa majeruhi.


No comments:

Post a Comment