TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, May 27, 2012

Airtel yafanya promosheni ya huduma ya ‘Jiunge na Supa 5’ kwa kishindo Mkoani Dodoma.

Wasanii wa kikundi cha Kinoko kutoka Dar es Salaam wakilishambulia
jukwaa wakati wa promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 katika viwanja
vya Jamhuri, Mkoani Dodoma jana. Uzinduzi rasmi ulifanyika jijini Dar
es Salaam hivi karibuni.
Baadhi ya wakazi wa Dodoma wakihamia Airtel wakati wa promosheni
ya Airtel Jiunge na Supa 5 mkoani humo jana.
Mkazi wa Dodoma, Queen Jackson akishindana kucheza taarab wakati
wa promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 mkoani humo jana.
Zawadi mbalimbali zikiwemo simu za mkononi zilitolewa ili kufanya
promosheni hiyo iwe ya aina yake.
Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria promosheni ya Airtel Jiunge
na Supa 5 Mkoani Dodoma jana.

No comments:

Post a Comment