Mhe. Zitto Kabwe akitoa hutba kuelezea mpango mzima wa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania
Wantazania waishio DMV Nchini Marekani wakiwa katika uzinduzi wa tawi la chadema Washington  Dc
Wantazania waishio DMV Nchini Marekani wakiwa katika uzinduzi wa tawi la chadema Washington  Dc
Mwanachama wa chadema kutoka Boston kamanda Doto akiuliza masuali
 tofauti  katika mpango mzima wa uzinduzi rasmi watawi la Chadema 
Washington Dc uliofanyika jana Mei 27, kwenye ukumbi wa Mirage Hall 
uliopo University  Bld, Hysattsville, Maryland Nchini Marekani.
Mhe. Leticia Nyererewenye uzinduzi wa watawi la Chadema Washington Dc
Mhe. Peter Msigwa akiandika masuali yaliokuwa yakiulizwa na baadhi ya wakireketwa 
 Mhe. Maryam Msabaha kwenye uzinduzi wa tawi la Chadema Washington Dc
Baadhi ya wakereketwa wachukua kadi baada ya uzinduzi wa tawi la chadema Washington
 Mhe. Nassari Joshua (Dogo Janja) Akishanga mamia ya wana DMV waliofurika katika uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc
No comments:
Post a Comment