Muandaaji wa Maonyesho haya Ester 
Zangi ambaye pia ni Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 anayesomea shahada ya 
kwanza ya sayansi ya siasa na utawala wa umma(Wa Kwanza Kushoto) akiwa 
katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma 
ambao Wameonyesha vipaji vyao Vya Kuchora Michoro inayoonekana hapo 
katika maonyesho yaliyofanyika jana Chuo Kikuu Cha Dodoma katika Ukumbi 
wa Chimwaga
PICHA NA JOSEPHAT LUKAZA WA http://josephatlukaza. blogspot.com
 Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 anayesoma 
shahada ya kwanza ya filamu na sanaa anayejulikana kwa jina la wacko 
jacko akiwa amesimama pembeni mwa moja ya michoro aliyochora kwa Mikono 
yake na hapo alikua katika maonyesho yaliyofanyika chuo kikuu cha Dodoma jana
Mmiliki
 wa Mtandao wa Lukaza Blog Mh Josephat Lukaza (Wa kwanza Kulia) akiwa 
katika Picha ya Pamoja na Wadau wa Lukaza Blog mara baada ya Kumalizika 
kwa Maonyesho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Chimwaga uliopo Chuo 
Kikuu Cha Dodoma (UDOM) katikati ni Mh Mzagamba Thobias Kutoka Uswis na 
Wa Kwanza Kulia ni Atu Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 UDOM.
Wanafunzi wa UDOM wanaosoma shahada 
ya kwanza ya Filamu na Sanaa, Kiswahili wakionyesha uwezo wao wa kucheza
 boringo katika maonyesho yaliyofanyika jana Katika Ukumbi wa Chimwaga uliopo Chuo Kikuu 
Cah Dodoma (UDOM)
Mmoja wa wanakamati wa maandilizi ya 
maonyesho haya ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka wa 3 Bi Atu anayesoma 
shahada ya kwanza ya Mazingira ya Chuo Kikuu Cha Dodoma alipokua akitoa 
neno wakati wa maonyesho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Chimwaga 
uliopo katika Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM) jana
Mmiliki na Mwendeshaji wa Mtandao wa 
Lukaza Blog Mh Josephat Lukaza alipokua akitoa maelekezo jinsi ya Lukaza
 Blog inavyofanya kazi na vilevile Mtandao wa Lukaza Blog unavyopatikana
 na ulivyoweza kupokelewa Vizuri ndani ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) na vyuo vikuu tanzania 
wakati wa Maonyesho yaliyofanyika Chuoni hapo jana
Mmoja wa Wanafunzi wanaosoma Shahada 
ya Kwanza ya Sanaa na Filamu Babra Kalugira akiwa kwenye Kirekodi Video 
(VIDEO CAMERA) akichukua video ya matukio yaliyokuwa yakiendelea katika 
Maonyesho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Chimwaga uliopo Chuoni 
Hapo
No comments:
Post a Comment