TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, May 28, 2012

MSHINDI WETU WA BAJAJ KATIKA PROMOSHENI YA "VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO" AKABIDHIWA ZAWADI YAKE

Meneja Masoko wa kampuni ya Serengeti Breweries Ltd (SBL) Kanda ya Ziwa, Patrick Kisaka, kushoto akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi kabla ya kumkabidhi mshindi wa Bajaj wa shindano la Vumbua hazina chini ya kizibo, kulia ni Meneja Mauzo wa SBL Mwanza, Octavian Migire.
Meneja wa Mauzo wa Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya ziwa  Bw Patrick Kisaka akikabidhi  Bajaj kwa mshindi wa huyo katika promosheni ya VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO na SBL, Bw. Godfrey Shao mkazi wa mkoa wa Mwanza ambaye alijishindia pikipiki ya matairi matatu( BAJAJ) kupitia bia ya Tusker Lager
Godfrey Shao amesema hakutegemea hata siku moja kupata zawadi kubwa kama ile na kwamba ameishukuru sana kampuni ya bia ya Serengeti kwa kubadilisha maisha yake kwani  sasa anaweza kujiajiri na kuwasaidia wale wanaomtegemea
Bw Godfery Shao ndani ya Bajaj yake akipongezwa na wafanyakazi, wawakilishi, wapenzi na wadau wa kampuni ya bia ya Serengeti baada ya kukabidhiwa Bajaj yake  mpya kabisa

No comments:

Post a Comment