TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, May 27, 2012

MBUNGE WA JIMBO LA KILOLO PROF PETER MSOLLA AKIMBIA KUWEKWA KITIMOTO NA WAPIGA KURA WAKE

Mwakilishi wa mkurugenzi wa Kilolo John Kiteve akijibu maswali katika mdahalo huo ambao ulipaswa pia kuhudhuria na mbunge wa jimbo la Kilolo Prof.Peter Msolla
Na Francis Godwin,Blog

MBUNGE wa jimbo la Kilolo mkoani Iringa Profesa Peter Msolla amekwepa kushiriki mdahalo wa kimaendeleo katika Kati yake na wananchi wa jimbo hilo leo .

Katika mdahalo huo uliofanyika katika ukumbi wa Upendo Ruaha mbuyuni mbunge Profesa Msolla ambaye pia amepata kuwa waziri wa mawasiliano sayansi na Teknolojia mbali ya kupewa taarifa na waandaaji wa midahalo hiyo ambao ni azaki za kiraia Tanzania ,mbunge huyo alipaswa kufika katika ukumbi huo kuanzia majira ya saa tatu asubuhi ila hadi saa Saba mchana mbunge huyo wala katibu wake hawakuweza kutokea ukumbini na kupelekea mdahalo huo kuchelewa kuanza .

Mratibu wa midahalo hiyo mkoa wa Iringa Raphael Mtitu alisema kuwa mbunge huyo alipewa taarifa kwa wakati juu ya uwepo wa midahalo hiyo japo alisema kuwa anasikitishwa na hatua ya mbunge kutofika na kuwa ni mbunge wa kwanza toka kuanza kwa midahalo hiyo kushindwa kufika huku akidai kuwa kutofika kwake bado hakujazuia mdahalo huo kuendelea

No comments:

Post a Comment