TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, January 14, 2015

MIKANDA MIWILI YA UBINGWA WA TAIFA WA NGUMI KUGOMBANIWA MANYARA PARK JANUARY 30

index
Na Mwandishi Wetu
 
BONDIA Ibrahimu Tamba ambaye ni bingwa wa uzito wa kg 72 ambaye ni bingwa wa TPBO anatarajia kuvaana na Baraka Mwakansope wa Mbeya mpambano wa ubingwa wa raundi kumi utakaofanyika january 30 katika ukumbi wa Manyara Park Tandale CCM
akizungumzia mpambano huo promota Jafari Ndame amesema siku hiyo kutakuwa na mipambano miwili ya ubingwa yote yakiwa na raundi kumi kila moja mpambano mwingine utawakutanisha Azizi Abdallah akatakaekabiliana na Selemani Zugo pia kutakuwa na mipambano mingine mikali ya utangulizi ambapo
bondiaTasha Mjuaji atapambana na Bakari Dunda na Jems Kibazange atacheza na Stivin Kobelo wakati Julius Kisarawe atapambana na Jems Martin na shomali Mirundi atakabiliana na Shedrack Ignas na Twaha Issa atakutana na Kassim Gamboo uku Husein Gobos akicheza na Samweli Stopa wakati Iddi Mgodomi atapambana na Shomari Punzi

No comments:

Post a Comment