TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, January 14, 2015

RIDHIWANI AZINDUA VYUMBA VYA MADARASA SHULE YA MAGEREZA YA BWAWANI

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi jengo la vyumba vya madarasa katika Shule ya Sekondari ya Bwawani katika Kijiji cha Visakazi Jimbo la Chalinze. Shule hiyo inamilikiwa na Jeshi la Magereza.
 Ridhiwani akivishwa skafu na mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Bwawani alipowasili katika shule hiyo leo
 Ridhiwani akiwa amekabidhiwa shada la maua
 Ridhiwani akikgua gwaride la wanafunzi wa shule hiyo lililoandaliwa maalumu kwa ajili yake
 Ridhiwani akilakiwa na maofisa wa Jeshi la Magereza
 Ridhiwani akiwa na maofisa wa jeshi hilo Kaimu Mkuu wa Magereza, Emmanuel Lwinga na Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, Kato Luganunulauu
 Ridhiwani akihutubia wakati wa hafla hiyo. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa Shule hiyo,Mrakibu Mwandamizi wa Magereza, Emmanuel Lwinga na Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, Kato Luganunula
 
 Ridhiwani akiwa amekaa katika moja ya madawati yaliyomo katika moja ya vyumba vipya vya madarasa
 Ridhiwani akikagua jengo hilo jipya
Ridhiwani akipanda mti wa kumbukumbu mbele ya jengo hilo

No comments:

Post a Comment