Waziri
wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amekamilisha
rasmi ziara yake katika mkoa wa Tabora. Waziri Muhongo alifanya ziara
katika mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Tabora lengo likiwa ni kukagua
miradi ya umeme vijijini pamoja na kuzungumza na wananchi
Waziri
wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati) akitoa
maelekezo kwa uongozi wa kijiji cha Tura wilayani Uyui mkoani Tabora
kuhakikisha umefanya mkutano na wananchi ili kufanya makubaliano jinsi
ya kusimamia mradi wa umeme wa kontena ili wananchi waanze kunufaika
mara moja.




No comments:
Post a Comment