Meneja
wa Kitengo cha taarifa za Usalama wa Usafiri wa Anga, Bw. Deodore Mushi
akitoa maelezo ya namna ya mashine mbalimbali zinazotumika katika
chumba maalum cha kutolea taarifa za usafiri wa Anga zinavyofanya kazi,
kwa wataalam kutoka Wizara ya Uchukuzi, waliotembelea katika ofisi hizo
leo asubuhi kufanya tathimini ya utoaji wa huduma katika Uwanja wa Ndege
wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA). Wa Kwanza kulia ni Afisa
Usafirishaji kutoka Wizara ya Uchukuzi, Bw. Biseko Chiganga (aliyevaa
koti jeusi), wa pili kushoto kwa Chiganga ni Afisa Usafirishaji, Bw
Benjamin Mbimbi na tatu kutoka kushoto ni Afisa Usafirishaji, Bw. Said
Marusu.



No comments:
Post a Comment