TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, January 16, 2015

PROIN PROMOTION YAZINDUA MPANGO WA KUUZA FILAMU ZAKE KWA NJIA YA MTANDAO

Waziri wa habari, vijana, utamaduni na michezo Dkt Fenella Mukangara akizungumza jambo kwenye hafla fupi iliyoandaliwa na Proin Promotion kwa ajili ya kuzindua mpango wa kuuza filamu kupitia njia ya mtandao. 


Waziri wa habari, vijana, utamaduni na michezo Dkt Fenella Mukangara akizindua rasmi mpango wa kuuza filamu zake kwa njia ya mtadao wa kwanza kulia ni Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania, Bi Joyce Fissoo pamoja na Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza(wa kwanza kushoto)
 Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza akizungumza jambo kwenye uzinduzi wa  mpango wa kuuza filamu zake kwa njia ya mtandao 

Waziri wa habari, vijana, utamaduni na michezo Dkt Fenella Mukangara akizungumza jambo baada ya kuzindua mpango wa kuuza filamu kwa njia ya mtandao. Wa kwanza kulia ni  Rais wa shirikisho la filamu nchi Tanzania (TAFF), Bw. Simon Mwakifamba na kulia ni Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania, Bi Joyce Fissoo
Waziri wa habari, vijana, utamaduni na michezo Dkt Fenella Mukangara akitazama moja ya filamu iliyonunuliwa kwenye uzinduzi wa kuuza filamu kwenye mtandao wa kwanza kulia ni  Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania, Bi Joyce Fissoo
Msanii wa maigizo Elizabeth Diana Michael "Lulu" akieleza jambo kwa  Waziri wa habari, vijana, utamaduni na michezo Dkt Fenella Mukangara kwenye uzinduzi wa kuuza filamu kwa kutumia mtandao katikati ni Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania, Bi Joyce Fissoo  
Baadhi ya wadau waliofika kwenye hafla hiyo
Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza(kulia) akibadishana mawazo na baadhi ya wadau waliofika kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika jana kwenye Hoteli ya Southern sun ya jijini Dar
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kazini

No comments:

Post a Comment