TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, January 15, 2015

Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi za Ghuba (GCC)

unnamed1 
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman Ali Ahmed Saleh akieleza umuhimu wa mkutano wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam.
unnamed3Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara kutoka Oman na nchi za Ghuba (GCC)   Saeed Saleh Saeed Al Kiyumi (katikati) akizungumza na baadhi ya wajumbe wa mkutano wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam. Kulia ni Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman Ali Ahmed Saleh na kushoto ni mkalimani aliyetafsiri maelezo ya mwenyekiti GCC Sudi Ahmed Rawahi. unnamed4Baadhi ya wafanyabiashara waliohudhuria mkutano wa matayarisho wa mkutano wa siku mbili wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam. unnamedBalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman Ali Ahmed Saleh akieleza akizungumza na  wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  kuhusu mkutano utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam. unnamed5 unnamed6Baadhi ya wafanyabiashara waliohudhuria mkutano wa matayarisho wa mkutano wa siku mbili wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam. unnamed7Baadhi ya wafanyabiashara waliohudhuria mkutano wa matayarisho wa mkutano wa siku mbili wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment