TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, February 27, 2015

Wafanyakazi Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo waelezea namna wizara yao inavyoweza kufanikisha Mkakati wa Kitaifa kuhusu matumizi ya Kondomu

hab1Afisa Tawala wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Mussa Varisanga akielezea jambo wakati wa kikao cha pamoja na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge
hab2Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge akizungumza na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (hawapo pichani) wakati wa kikao cha pamoja kujadili kuhusu Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Condom unaoratuibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mshauri kutoka taasisi ya AMCA Bw. Patrick Kauyamwenge.
hab3Mwakilishi wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dkt. Ngaiza Alex akizungumza wakati wa kikao cha pamoja baina ya maafisa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw. Moses Muwoge na Mshauri kutoka taasisi ya AMCA Bw. Patrick Kauyamwenge.
hab4Mwakilishi wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dkt. Ngaiza Alex akizungumza wakati wa kikao cha pamoja baina ya maafisa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw. Moses Muwoge na Mshauri kutoka taasisi ya AMCA Bw. Patrick Kauyamwenge.
hab5Afisa Habari wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Zawadi Msalla (katikati) akielezea jambo wakati wa kikao cha pamoja na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Frank Shija, WHVUM

No comments:

Post a Comment