...Akitafakari jambo.
Rais Kikwete akiongea na wakazi wa Magole leo. |
RAIS
Dk. Jakaya Kikwete leo ametua kwa helikopta kijijini Magole, Dumila ili
kukagua daraja lililoharibiwa na mvua pamoja na kuongea na wananchi wa
eneo hilo waliokumbwa na mafuriko yaliyotokea Januari 22, mwaka huu
wilayani Mvomero, Morogoro.
No comments:
Post a Comment