UPANDISHWAJI WA MADARAJA KWA WALIMU WAZUA SITOFAHAMU ARUSHA
Na Woinde Shizza,Arusha
Baadhi ya walimu wa jiji la Arusha wamelalamikia utaratibu uliotumika
wa upandishwaji wa madaraja na kusema kuwa utaratibu huo ni ujawatendea
haki walimu waliofanya kazi kwa kipindi kirefu pamoja na wale ambao
wamestaafu .
No comments:
Post a Comment