TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, March 19, 2014

DALADALA MKOANI MOROGORO WAGOMA KWA MASAA KADHAA

 

wakazi wa Morogoro ambao leo asubuhi walilazimika kutumia usafiri wa vyombo visivyo rasmi kusafirisha abiria, ili kuwahi makazini
Hali si shwari mjini Morogoro leo hii ambapo madereva daladala wamegoma kutoa huduma kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupinga faini kubwa wanazotozwa na mamlaka za usalama barabarani mkoani humo.Mwakilishi wetu mkoani Morogoro ataendelea kutuweka karibu na tukio hili kwa kadiri litakavyokuwa likiendelea. Endelea kufuatilia ukurasa huu kwa updates za mara kwa mara.
Pichani ni baadhi ya 

No comments:

Post a Comment