TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, March 22, 2014

Rais Dkt. Jakaya Kikwete azindua rasmi Bunge Maalum la Katiba.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea salama ya heshima kutoka Jeshi la Polisi kabla ya hotuba ya uzinduzi wa Bunge maalum la Katiba leo mjini Dodoma.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride liliandaliwa na Jeshi la Polisi kabla ya hotuba ya uzinduzi wa Bunge maalum la Katiba leo mjini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta (kulia) na Makamu Mwenyekiti Samia Suluhu wakijadiliana jamba nje ya ukumbi wa Bunge kabla hotuba ya uzinduzi wa Bunge Maalum la Katiba leo mjini Dodoma.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutuba Bunge Maalum la Katiba wakati wa sherehe za uzinduzi wa Bunge hilo leo mjini Dodoma.

Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Maalim Mh. Seif Sharif Hamad (kushoto) Jaji Mkuu wa Zanzibar Mh. Omar Othman Makungu(Katikati) na Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Amaan Abeid Karume Wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa Hotuba ya Uzinduzi wa Bunge Maalum la Katiba Mjini Dodoma Leo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya Pamoja na Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Leo Mjini Dodoma.

(Picha na Idara ya Habari-MAELEZO)
Posted By Blogger to THE GOVERNMENT OFFICIAL BLOG

No comments:

Post a Comment