TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, March 5, 2014

WAANDISHI NA WADAU WA HABARI WAJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PPF HAPO JANA KATIKA UKUMBI WA KARIMJEE, JIJINI DAR ES SALAAM

Mwandishi wa Habari Ndg Elias Mnonjera Daudi akijaza fomu ya kujiunga na Mfuko wa Pensheni wa PPF jana mara baada ya mkutano wa waandishi na wadau wa habari kumalizika katika Ukumbi wa Karimjee Jijini Dar Es Salaam, Mkutano huo ulioandaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PPF ulilenga Kuwapa elimu waandishi na wadau wa habari nchini juu ya umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Pensheni wa PPF.
 Mwandishi wa habari, Ndg Francis Dande (wa kwanza kulia) akijaza fomu ya kujiunga na mfuko wa pensheni wa PPF jana  mara baada ya mkutano wa waandishi na wadau wa habari kumalizika katika Ukumbi wa Karimjee Jijini Dar Es Salaam, Mkutano huo uliandaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PPF ulilenga Kuwapa elimu waandishi na wadau wa habari nchini juu ya huduma nyingine zinazotolewa na Mfuko huo wa PPF.
Mwandishi wa Habari wa Kituo Cha Runinga cha ITV, Bi Fatma Almasi Nyangasa akijaza fomu ya kujiunga na mfuko wa Pensheni wa PPF jana mara baada ya mkutano wa waandishi na wadau wa habari kumalizika katika Ukumbi wa Karimjee Jijini Dar Es Salaam, Mkutano huo uliandaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PPF.
Mdau wa Habari Nchini Bw Albart Jackson (wa Pili Kulia) akijaza fomu ya kujiunga na mfuko wa Pensheni wa PPF jana mara baada ya mkutano wa waandishi na wadau wa habari ulioandaliwa na mfuko wa Pensheni wa PPF kumalizika katika Ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar Es Salaam. 
Baadhi ya waandishi wa habari nchini wakijaza fomu ya kujiunga na mfuko wa pensheni wa PPF jana katika ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar Es Salaam mara baada ya mkutano wa waandishi na wadau wa habari uliondaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kumalizika
 Meneja Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Lulu Mengele (wa kwanza kushoto) akiwapa maelekezo waandishi wa habari jinsi ya kujaza fomu ya kujiunga na mfuko wa Pensheni wa PPF jana Katika Ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar Es Salaam mara baada ya Mkutano wa waandishi na wadau wa habari kumalizika.
 Waandishi na Wadau wa habari waliohudhuria mkutano ulioandaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PPF wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF mara baada ya kujiunga na Mfuko huo hapo jana katika ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment