TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, October 29, 2014

KITU KINACHOSADIKIWA KUWA BOMU KIMEGUNDULIKA DAR

Lenard Thomas aliyekuwa anaenda kuwasha moto kwenye takataka zilizokuwa juu ya kitu hicho kinachosadikika kuwa ni bomu.
Picha ya kitu kinachosadikika kuwa ni bomu kimegundulika maeneo ya Kijitonyama,  jijini Dar.
Gari la uchafu likiwa linaenda kuchukua  uchafu eneo la tukio.
Wananchi wakiwa eneo ambalo kitu kinachosadikiwa kuwa bomu kimeonekana.
Askari polisi wakiwa eneo la tukio.
Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Leonard Thomas amegundua kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu maeneo ya Kijitonyama, jijini Dar.
Akizungumza na GPL Lenard alisema: "Nilikuwa naenda kuchoma moto taka ndipo nikaona kitu kama chuma kizito kama bomba ila kikanishangaza kiko kipekee nikiwa bado na shangaa mwenzagu akaja kuniambia kuwa ni bomu ndipo nikawajulisha polisi.
Polisi walifika eneo la tukio na kuweka ulinzi wakati wakisubiri wataalamu wa mabomu wafike.
(PICHA: GABRIEL NG’OSHA/GPL)

No comments:

Post a Comment