TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, October 28, 2014

WATEJA WA NBC WAADHIMISHA MWEZI WA HUDUMA KWA WATEJA

 Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa (kulia) akizungumza na mteja wa benki hiyo, Job Mwakibinga katika tawi la Mlimani City ikiwa ni sehemu ya maadhimisho yanayoendelea ya Mwezi wa Huduma kwa Wateja ambapo maofisa wa benki hiyo hutembelea matawi mbalimbali na kuhudumia wateja.
 Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa (katikati) akizungumza na mteja wa benki hiyo, Job Mwakibinga katika tawi la Mlimani City ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Mwezi wa Huduma kwa Wateja ambapo maofisa wa benki hiyo hutembelea matawi mbalimbali na kuhudumia wateja. Kulia ni Mkuu wa Matawi ya NBC, Gaudence Shawa.
 Mkuu wa Matawi ya Benki ya NBC, Gaudence Shawa (kulia) akizungumza na na mmoja wa mteja wa benki hiyo katika tawi la Mlimani City ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Mwezi wa Huduma kwa Wateja ambapo maofisa wa benki hiyo hutembelea matawi mbalimbali na kuhudumia wateja.

 Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa (kushoto) akizungumza na mmoja wa wateja wa benki hiyo katika tawi la Mlimani City ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Mwezi wa Huduma kwa Wateja wa NBC.
Baadhi ya wateja katika Tawil la NBC Mlimani City wakipewa viburudisho wakati wakisubiri kuhudumiwa. Ili kuadhimisha mwezi wa huduma kwa wateja maofisa wa benki hiyo hutembelea matawi mbalimbali ili kuzungumza na kupata maoni yao kuhusu ubora wa huduma wazipatazo.

No comments:

Post a Comment