Wajumbe wa Bodi ya Sukari Kilombero wakiwa katika kikao na wajumbe wa Bodi ya Southern Agricultural Growth Corridol of Tanzania (SAGCOT) baada ya ziara yao katika mashamba ya miwa ya wakulima wadogowadogo karibu na maeneo ya Kiwanda cha Sukari Kilombero mkoani Morogoro.
 Mkurugenzi wa ofisi ya SAGCOT Catalytic Trust Fund Bw. John Kyaruzi akizungumza na wajumbe wa Bodi ya SAGCOT katika uzinduzi wa Ofisi yao iliyoko karibu na Hospitali ya Ocean road jijini Dar es Salaam hapo jana.
 Wajumbe hao wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza kikao hicho kilichofanyika katika Kiwanda cha Sukari Kilombero. 
 Mwenyekiti wa Bodi ya SAGCOT Balozi Ami Mpungwe akizungumza na wajumbe wa bodi katika uzinduzi wa Ofisi hiyo.
Shamba la Miwa likiwa limeandaliwa kwa kuchomwa moto tayari kwa kuvunwa.