TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, October 29, 2014

WAZIRI WA FEDHA SAADA MKUYA AONGOZA UZINDUZI WA CHAPISHO KUU LA UTAFITI WA MAPATO NA MATUMIZI YA KAYA BINAFSI 2011-2012-TANZANIA BARA

 Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi huo uliofanyika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam leo asubuhi akihutubia.
 Mwakilishi wa Benki ya Dunia,  Philippe Dongier, 
akihutubia katika hafla hiyo.
 Ofisa kutoka Shirika la Maendeleo la DPG, Sinikka Antila, 
akitoa hutuba fupi kwa wageni waalikwa.
 Meneja wa Mazingira na Uchambuzi wa Takwimu, Ofisi ya Taifa ya Takwimu (TBS), Sango Abas Simba, akitoa ufafanuzi wa masuala kadhaa kuhusu chapisho hilo.
 Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum (wa pili kushoto), akionesha kitabu cha Ripoti ya Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi wa Mwaka 2011/12 wakati akikizindua katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam leo. Wanaoshuhudia kutoka kulia ni Ofisa kutoka Shirika la Maendeleo la DPG, Sinikka Antila, Mwakilishi wa Benki ya Dunia,  Philippe Dongier na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Beno Ndulu.
 Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (Dk. Albina Chuwa (kushoto), akiteta jambo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Beno Ndulu wakati wa uzinduzi wa chapisho hilo.
 Wadau wa masuala ya takwimu wakiwa kwenye hafla hiyo.
 Maofisa wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu wakiwa 
kwenye uzinduzi huo.
 Wanafunzi wa Chuo cha Takwimu nao walijumuika kwenye uzinduzi wa chapisho hilo.
  Wanafunzi wa Chuo cha Takwimu. 
Viongozi meza kuu wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa chuo cha Takwimu.

No comments:

Post a Comment