Katibu, Ofisi ya Rais Sekretariet
ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Exavier Daudi (kushoto)
akimkaribisha ofisini kwake Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw.
Assah Mwambene wakati alipotembelea ofisi hiyo kwa lengo la kuangalia
utendaji kazi wa kitengo cha mawasiliano.
Katibu, Ofisi ya Rais Sekretariet
ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Exavier Daudi akimueleza Mkurugenzi
wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene kuhusu mikakati ya
ofisi hiyo ya kuboresha mawasiliano ya serikali kwa umma wakati wa ziara
ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari katika vitengo cha mawasiliano.
No comments:
Post a Comment