TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, February 1, 2015

BUNGE LAENDELEA NA VIKAO VYAKE MJINI DODOMA



1
2
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage akijibu moja ya maswali yaliyoelekezwa kwenye wizara yake katika kipindi cha maswali na majibu Januari 30,2015  Bungeni mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akijibu swali  Bungeni mjini Dodoma.
3
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dkt. Pindi Chana akijibu maswali kutoka kwa wabunge  mjini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu.
4
 Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akitoa maelezo wakati wa kipindi cha maswali na majibu Bungeni mjini Dodoma.
5
 Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi akitoa kauli ya Serikali kuhusu Mkakati wa Serikali wa Kutatua Changamoto za Soko la Sukari nchini,  Bungeni mjini Dodoma.
6
Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) Susan Lyimo akichangia hoja ya Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Bajeti na Kamati Hesabu za Serikali za Mitaa(LAAC)  Bungeni mjini Dodoma.
7
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa (kushoto) akiteta jambo na Mbunge wa Kuteuliwa na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia,  Bungeni mjini Dodoma.
8
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Ester Bulaya akichangia hoja ya ya Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Bajeti na Kamati Hesabu za Serikali za Mitaa(LAAC) jana Bungeni mjini Dodoma.
9
Mbunge wa Mkanyageni Mohamed Habibu Mnyaa akichangia hoja Bungeni mjini Dodoma wakati wa kuchangia hoja za Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Bajeti na Kamati Hesabu za Serikali za Mitaa(LAAC).
10
Baadhi ya wageni waliohudhuria kwenye ukumbi wa Bunge la Jamhuri bungeni mjini Dodoma.Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma

No comments:

Post a Comment