TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, February 5, 2015

NAPE AANZA ZIARA KWENYE VYOMBO VYA HABARI

  Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali,  Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki ( wa pili kutoka kushoto) akielezea masuala mbali mbali yanayohusu tasinia ya habari wakati wa mkutano na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye uliofanyika kwenye ofisi za Kampuni ya Magazeti ya Serikali,Tazara jijini Dar es Salaam.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza wakati wa kikao chake na Viongozi na waandishi wa Magazeti ya Serikali alipowatebelea leo ikiwa sehemu ya utaratibu wake wa kutembelea vyombo vya habari.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akiwa kwenye picha ya pamoja na wahariri wa Magazeti ya Serikali.
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali,  Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki akizungumza na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimina na Mhariri Mkuu wa Magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania kwenye ofisi za magazeti hayo mtaa wa Mwinyijuma,Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akionyeshwa sehemu ya waandishi wanapoandaa habari na Mhariri Mkuu wa Magazeti ya Raia Mwema na Raia Tanzania
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na baadhi ya viongozi na wahariri wa gazeti la Raia Tanzania na Raia Mwema.
 
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa kwenye picha ya pamoja na wahariri wa gazeti la Raia Mwema na Raia Tanzania.

No comments:

Post a Comment