TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, February 4, 2015

ZIARA YA RAIS WA UJERUMANI ZANZIBAR


unnameds3Rais wa Ujerumani Mhe,Joachim Gauck na mwenyeji wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kwa pamoja wakiwapungia mikono wananchi wakati wa mapokezi huko bandari ya Malindi Mjini Zanzibar leo akiwa katika ziara ya siku moja nchini,  [Picha na Ikulu.[ unnameds5Rais wa Ujerumani Mhe,Joachim Gauck(kushoto) akimtambulisha  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kwa Viongozi mbali mbali aliofutana nao katika ziara yake hapa nchini mara baada ya kutemka katika Boti ya Azam leo akitokea Dar es Salaam,[Picha na Ikulu.] unnameds6Rais wa Ujerumani Mhe,Joachim Gauck akiwa na Mwenyeji wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na Mke wa Rais wa Ujerumani Mama Daniela Schadt (katikati) wakianaglia Ngoma za asili wakati wa mapokezi yao wakiwa katika ziara ya siku moja wakitokea dar es Salaam leo,[Picha na Ikulu.]

Mke wa Rais wa Ujerumani Mama Daniela Schadt akifuatana na Waziri wa Uwezeshaji Ustawi wa Jamii,Vijana Wanawake na Watoto Bi Zainab Omar Mohammed (MBM) Bandarini mara baada ya kuwasili akitokea Dar es Salaam akiwakatika ziara ya siku moja nchini ya Rais wa Ujerumani,[Picha na Ikulu.]
unnameds9Rais wa Ujerumani Mhe,Joachim Gauck akiwa na Mwenyeji wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na Mke wa Rais wa Ujerumani Mama Daniela Schadt (katikati) wakianaglia Ngoma za asili wakati wa mapokezi yao wakiwa katika ziara ya siku moja wakitokea dar es Salaam leo,[Picha na Ikulu.]
unnameds8Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  akizungumza na mgeni wake
Rais wa Ujerumani Mhe,Joachim Gauckkatika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar alipofika na ujumbe wake leo akiwa katika ziara ya siku moja nchini,[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment