TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, December 13, 2014

DIWANI MATHIUS WA KATA YA MALANGARINI AFUNGA KAMPENI ZA UCHAGUZI KATANI KWAKE

Diwaniwa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katikamkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa  serikali za mitaa utakaofanyika jumapili Desemba14 mwaka huu.
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza. 
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi cote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya vurugu. 
 Wananchi wa kata ya Manyire wakimsikiliza diwani wa kata
hiyo hayupo pichani wakati wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa serukali za
mitaa.
 Diwaniwa kata ya mlangarini Mathius Manga akizungumza huku makada wa CCM wakicheza kwa furaha.
 Viongozi wa CCM wakiwa katika mkutano huo.
 Diwani wa kata ya mlangarini Mathius Manga akiwa na viongozi wenzake wa CCM katika mkutano huo.

No comments:

Post a Comment