Idriss
Sultan Mtanzania aliyetikisa Bigbrother leo ameibuka mshindi wa
shindano hilo na kuwabwaga washiriki kutoka mataifa mbalimbali
yaliyoshiriki katika shindano hilo akiibuka na kitita cha shilingi
milioni 500 za Kitanzania katika shindano hilo lililokuwa likiendelea
kwa miezi mitatu nchini Afrika Kusini Idriss ni Mtanzania wa tatu
kushinda shindano hilo akitanguliwa na Mwisho Mwampamba na Richard wote
wakiwakilisha vizuri taifa la Tanzania katika shindano hilo,
===============================================================
WAZIRI CHIKAWE ACHANGISHA ZAIDI YA MILIONI 22 KKKT JIMBO LA KASKAZINI-MAGHARIBI NACHINGWEA




===========================================================
DIAOMOND USIPIME ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV
Prezida
wa Wasafi Diamond Platnumz akiwa pamoja na wacheza showa wake Roma
Tonsa na Moses Iyobo wakitoa burudani katika kunogesha sherehe ya miaka
53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Sheraton Hotel ya Silver
Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na mashabiki wake kutoka
kila pembe ya Marekani huku mashabiki wengine wakitokea Tanzania, Picha
na Vijimabo Blog
Mzuka unazidi kupanda Diamond Platnumz asaula koti lake.
Balozi
akimshukuru Diamond kwa kuwezesha kunogesha usiku wa Uhuru wa Tanzania
na pia aliwashukuru wadhamini wa sherehe hiyo ya moaka 53 ya Uhuru wa
Tanzania Bara.
Diamond akizidi kuwapa burudani mashabiki wake
Shabiki akicheza wimbo wa mdogo mdogo
Shabiki akijumuika na Diamond kwenye jukwaa.
==========================================
WIMBO MPYA “ACHA MARINGO” wa KISS ft Rich Mavoko & Makomandoo
Msanii mpya kwenye gemu ya Bongo
Flava anayeitwa Abui Simon au la kimuziki ‘KISS’. Wimbo huo wewe ndio
utakuwa wa kwanza kuurusha hewani kwenye blogs kabla ya kuueleka kwenye
vituo vya redio siku ya Jumatatu.
Jina la wimbo ni ACHA MARINGO.
Ameutengeneza kwenye studio za SAY RECORDS, Kinondoni, Dar. Amewashirikisha Richie Mavoko na Makomando.
Natumai ushirikiano wako wa dhati, asante na Mungu akubariki.
Kaka Mwinyi – 0713 552211 au 0752 552211
================================================================
RAIS KIKWETE ATEUA MKUU MPYA MMOJA WA MKOA NA KUWAHAMISHA VITUO VYA KAZI WENGINE SITA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mkuu Mpya mmoja wa Mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi wengine sita kuanzia jana, Jumamosi, Desemba 6, 2014.
Taarifa iliyotolewa leo, Jumapili, Desemba 7, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue mjini Dar es Salaam inasema kuwa Rais amemteua Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha, Ndugu Daudi Felix Ntibenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Ndugu Ntibenda ataapishwa kesho, Jumatatu, Desemba 8, 2014, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar Es Salaam.
Taarifa hiyo inasema kuwa wakuu waliohamishwa vituo vya kazi ni Mheshimiwa Elaston Mbwilo anayehamishwa kutoka Mkoa wa Manyara kwenda Mkoa wa Simiyu ambako anachukua nafasi ya Mheshimiwa Paschal Mabiti aliyepewa likizo ya ugonjwa, Mheshimiwa Joel Nkanga Bendera aliyehamishwa Mkoa wa Manyara kutoka Mkoa wa Morogoro na Mheshimiwa Dkt. Rajabu M Rutengwe anayehamishwa Mkoa wa Morogoro kutoka Mkoa wa Tanga.
Wengine ni Mheshimiwa Magalula Saidi Magalula anayehamishiwa Mkoa wa Tanga kutoka Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Mwantumu Bakari Mahiza anayehamishiwa Mkoa wa Lindi kutoka Mkoa wa Pwani na Mheshimiwa Mhandisi Evarist B. Ndiliko anayehamishiwa Mkoa wa Pwani kutoka Mkoa wa Arusha.
Wakuu wengine wa mikoa wanaendelea kubakia katika vituo vyao vya sasa vya kazi.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu – Dar es Salaam.
6 Desemba,2014
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu – Dar es Salaam.
6 Desemba,2014
=================================================================
RAIS DR. SHEIN ASHIRIKI MAZIKO YA MUASISI WA CCM







======================================================
MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)WAIBUKA KIDEDEA TUZO ZA NBAA
Naibu Waziri wa Fedha Adam
Malima akimkabidhi Tuzo kamishna mkuu wa TRA Rished Bade katika
kufunga mkutano wa mwaka wa wakaguzi na wahasibu (NBAA)
unaofanyika jijini Arusha ambapo TRA waliibuka kidedea katika tuzo za
bodi ya uhasibu na ukaguzi kwa kuongoza kundi la taasisi za serikali
kwa kutoa hesabu bora nchi nzima(Habari Picha na Pamela Mollel wa
Jamiiblog)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).
Clement Mshana akiwa anapokea tuzo kutoka kwa Naibu Waziri wa Fedha
Adam Malima baada ya kushinda katika uandaaji bora wa mahesabu
Naibu Waziri wa Fedha Adamu Malima akiwa anamkabidhi Mkurugenzi mkuu wa TANAPA Allan kijazi
tuzo kwa kushinda katika uandaaji wa mahesabu kiwango cha kimataifa
katika mfumo wa uandaaji wa viwango vinavyokubalika kimataifa
Mhasibu mkuu wa wizara ya
maliasili na utalii Layson Mwanjisi akipokea tuzo ya uandaaji bora wa
taarifa za mahesabu kutoka kwa Naibu Waziri wa Fedha Adamu
Malima
Mkurugenzi mkuu NBAA Pius Maneno akipokea zawadi kutoka kwa Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima
Mwenyekiti wa bodi ya NBAA
Pro.Isaya Jairo akipokea zawadi kwa kufanikisha kuandaa mkutano mkubwa
wa mwaka wa wakaguzi na wahasibu (NBAA)
Naibu Waziri wa Fedha Adamu
Malima akimkabidhi Tuzo Mkaguzi mkuu wa ndani PPF Hosea Kashimba baada
ya kushinda kwa kuwa waandaaji bora wa taarifa za hesabu kwa mwaka 2013
Rais Kikwete afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona


Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia baadhi ya Mashekhe na wageni
waliohudhuria hafla ya kisomo maalum cha Kumshukuru Mwenyezi Mungu baada
ya kufanyiwa upasuaji na kurejea nyumbani salama kilichofanyika katika
viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Mjukuu
wa Rais, Ayman Ridhiwani Kikwete akicheza kwa furaha wakati Babu yake
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru wageni na Mashekhe
waliohudhuria hafla ya kisomo maalum kilichofanyika katika viwanja vya
ikulu jijini Dar es Salaam leo(picha na Freddy Maro)
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mjukuu wake Ayman Ridhiwani
Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam muda mfupi baada ya kumalizika kisomo
cha shukran kwa Mwenyezi Mungu kiklichofanyika ikulu jijini Dar es
Salaam leo.


Tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne lafana TCC Chang’ombe











==================================================================
Timu ya Kriket ya Uganda yatua nchini kwa udhamini wa Fast Jet




=================================================================
Tigo ilivyowafikia wateja wake katika tamasha la Nyama Choma Festival





=====================================================================
MKUTANO WA KAMATI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA (NEC)







===============================================================
MAMA SALMA KIKWETE AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI KATA ZA NACHINGWEA NA MINGOYO HUKO LINDI











PICHA NA JOHN LUKUWI.
===============================================================
BELLA AITIKISA DAR LIVE USIKU WA NANI KAMA MAMA
Mfalme
wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ akifanya yake usiku wa kuamkia leo
Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.
Nyomi
ya mashabiki walijitokeza katika uzinduzi wa albamu yake mpya ya Nani
Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.
Madansa wa Malaika Music bendi wakifanya yao.
Mashabiki wakicheza na Christian Bella ‘Obama’.
Mashabiki wakiwa wamepagawa na shoo ya mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ (hayupo pichani).
Christian Bella ‘Obama’ akizidi kuwapagawaisha mashabiki wake.
Madansa wa Christian Bella wakifanya yao.
Mashabiki wakicheza na kuimba wimbo wa Nakuhitaji wa Bella.
Bella na wacheza shoo wake wakifanya yao.
Christian Bella akiimba wimbo wa Nani Kama Mama akiwa na shabiki wake.
BENDI ya muziki wa Dansi ya
Malaika chini ya Christian Bella ‘Obama’ usiku wa kuamkia leo iliutikisa
Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar
baada ya kuwapagawisha mashabiki kwa shoo ya nguvu.
Onyesho hilo lililoanza saa
tatu usiku ambapo Malaika bendi walikuwa wakiwapa ladha mashabiki kwa
kupiga kopi mbalimbali ya nyimbo za Kikongo zinazobamba.
Ilipofika saa nne na nusu
ukumbi ulilipuka kwa shangwe baada ya kiongozi wa bendi hiyo Christian
Bella kupanda jukwaani kwa wimbo wake wa Yako Wapi Mapenzi ambao
ulisababisha mashabiki kuinuka katika viti vyao na wale ambao walikuwa
wakinyemelewa na usingizi kuamka.
Bella alizidi kuwapagawisha
mashabiki kwa kupiga nyimbo kali mfululizo ambazo zinatamba katika redio
na vyombo mbalimbali vya habari ukiwemo Nani Kama Mama, Yako wapi
Mapenzi, Msaliti, Usilie na nyingine kibao.
(PICHA/HABARI: ISSA MNALLY/ GPL)
==========================================================
Washindi wa Maonesho ya Keki Wapatikana Dar

Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ wakipita kuangalia keki.

Majaji
wa Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ watipita kukagua,
kupata maelezo ya watengenezaji wa keki hizo kabla ya kuwapata washindi.

Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ wakipita kuangalia keki.

Marion
Elias Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, ambaye pia
Mratibu wa Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ akizungumza na
wanahabari (hawapo pichani) katika maonesho hayo.

Majaji
wa Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ watipita kukagua,
kupata maelezo ya watengenezaji wa keki hizo kabla ya kuwapata washindi.

Majaji
wa Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ watipita kukagua,
kupata maelezo ya watengenezaji wa keki hizo kabla ya kuwapata washindi.

Keki
mbalimbali zilizoshiriki katika Maonesho ya ‘Azam World of Cakes
Exhibition’ yaliofanyika katika Hoteli ya Serena ya jijini Dar es
Salaam.

Keki
mbalimbali zilizoshiriki katika Maonesho ya ‘Azam World of Cakes
Exhibition’ yaliofanyika katika Hoteli ya Serena ya jijini Dar es
Salaam.

Baadhi ya washiriki wa Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ katika picha ya pamoja

Baadhi ya washiriki wa Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ katika picha ya pamoja.

Baadhi ya washiriki wa Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ katika picha ya pamoja.

Keki
mbalimbali zilizoshiriki katika Maonesho ya ‘Azam World of Cakes
Exhibition’ yaliofanyika katika Hoteli ya Serena ya jijini Dar es
Salaam.

Majaji wa Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ wakijumuisha alama kabla ya kuwapata washindi.

Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya ‘Azam World of Cakes Exhibition’ wakipita kuangalia keki.

Keki
mbalimbali zilizoshiriki katika Maonesho ya ‘Azam World of Cakes
Exhibition’ yaliofanyika katika Hoteli ya Serena ya jijini Dar es
Salaam.
JOPO la Majaji watatu na mabingwa
wa fani za mapishi leo wamewatangaza mabingwa wa utengenezaji keki
waliojitokeza katika Maonesho ya bidhaa za keki ‘Azam World of Cakes
Exhibition’ yaliofanyika katika Hoteli ya Serena ya jijini Dar es
Salaam.
Jumla ya makampuni na watengenezaji keki wapatao 39 wameshiriki katika maonesho hayo ya keki yalioandaliwa na kampuni ya Insights Productions Limited kwa udhamini wa Kampuni ya Azam Tanzania.
Jumla ya makampuni na watengenezaji keki wapatao 39 wameshiriki katika maonesho hayo ya keki yalioandaliwa na kampuni ya Insights Productions Limited kwa udhamini wa Kampuni ya Azam Tanzania.
Akitangaza washindi katika
maonesho hayo ya keki, mmoja wa majaji ambaye pia ni Mpishi Mkuu, toka
Ramada Encore ya jijini Dar es Salaam, Edward Mukabana alisema timu ya
majaji hao imewapata washindi wa kwanza watatu katika makundi matatu;
yaani mshindi wa Keki yenye Radha Bora, Mbunifu Bora wa Keki na Mshindi
wa Keki yenye Mvuto Kimuonekano.
Jaji huyo wa ‘Azam World of Cakes
Exhibition’ aliwataja Amina Salim kuwa ndiye aliyeibuka mshindi wa keki
yenye radha bora zaidi, huku kampuni ya Beta Bakery ikitwaa taji la
mbunifu Bora wa Maonesho hayo ya keki. Pia alimtangaza Janeth Muawiriro
kuwa ndiye mshindi wa keki yenye Mvuto kimuonekano katika washiriki
wote.
Jopo hilo la majaji wa ‘Azam World
of Cakes Exhibition’ pia lilimtangaza Leila Dhiyebi kuwa ni mshindi wa
kwanza aliyepigiwa kura na wananchi waliotembelea maonesho hayo makubwa
ya keki Tanzania. Kundi lingine la washindi ambao keki zao ziliwavutia
majaji ni pamoja na Haika Shao na Caroline Gul pamoja na wanae wawili
ambao walishiriki kubuni umbo la keki kwa mchoro iliyotengenezwa na
mamayao.
Akizungumza awali kabla ya
kuwatangaza washindi, Jaji Mkuu wa Mashindano hayo ya ‘Azam World of
Cakes Exhibition’, Tom Owino (Excetive Chef) alisema walisema
wamezipitia keki zote za washiriki kuangalia vigezo mbalimbali vya
upishi, muonekano na kuonja radha ya kila keki kabla ya kukaa chini na
kuanza kufanya maamuzi ya pamoja ya majaji kwa kuzingatia vigenzo vya
msingi katika utengenezaji keki.
Aidha kwa upande wake, Marion
Elias Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, ambaye pia
ni Mratibu wa maonesho hayo alisema maonesho hayo yamekuwa na mvuto
baada ya kushirikisha makampuni na watu binafsi huku yakilenga kutangaza
bidhaa nzima ya keki na ubunifu katika utengenezaji.
Alisema washiriki wote wamepata
fursa ya kubadilishana uzoefu na kujifunza ubunifu zaidi wa shughuli
hizo toka kwa wataalam wengine jambo ambalo litawabadili kwa namna
fulani, ikiwa ni pamoja na kupata zawadi toka kampuni ya Azam na vyeti
maalum vya kutambua mchango wao kiushiriki.
Kwa upande wake Mratibu wa
Matangazo na Uhusiano wa Umma toka Kampuni ya SSB, Mohammed Ramadhan
alisema Azam ikiwa ni kampuni inayotengeneza unga bora wa kutengenezea
keki imeamua kudhamini ikiwa ni ishara ya kutambua taaluma hiyo ya
utengenezaji wa keki nje na ndani ya Tanzania. Wananchi walipata fursa
ya kuangalia keki mbalimbali pamoja na kuonja radha zake jambo ambalo
lilileta mvuto zaidi kwa washiriki.
*Imeandaliwa na www.thehabari.com
*Imeandaliwa na www.thehabari.com
=======================================================================
WANAFUNZI 1,044 WAHITIMU CHUO KIKUU ARDHI
Wahitimu wa digrii ya elimu jamii
katika taaluma za maendeleo jamii wakishangilia baada ya Mkuu wa Chuo
Kikuu Ardhi (ARU), Cleopa Msuya kuwatunuku katika mahafali ya 8 ya chuo
hicho, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU),
Cleopa Msuya akimtunuku Digrii ya Uzamifu, Rigobert Buberwa, wakati wa
mahafali ya 8 ya Chuo hicho, Dar es Salaam. Buberwa ametunukiwa digrii
hiyo baada ya kufanikiwa kufanya utafiti unaohusu “Kuelekea modeli ya
mfumo wa kompyuta wa kutunza taarifa za ardhi na mabadiliko ya umiliki
wake: Nyenzo mpya ya Usimamizi wa Ardhi nchini Tanzania.
Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU),
Cleopa Msuya akimtunuku Digrii ya Uzamifu (Doctor of Phylosophy Degree),
Deusdedit Kibassa, wakati wa mahafali ya 8 ya Chuo hicho, yaliyofanyika
kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam leo.Mada ya utafiti
aliyoifanya inahusu: “Umuhimu wa kutumia maeneo ya kijani kupunguza
athari zitokanazo na kuongezeka kwa hali ya joto katika maeneo ya
katikati ya Jiji la Dar es Salaam.”
Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU),
Cleopa Msuya akimtunuku Digrii ya Uzamifu, Dawah Mushi, wakati wa
mahafali ya 8 ya Chuo hicho, yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond
Jubilee, Dar es Salaam. Mada ya utafiti aliyoifanya Mushi inahusu:
“Uhamishwaji wa makazi ya watu wengi waliobomolewa makazi yao katika
mradi wa upanuzi wa Uwanja wa Ndege jijini Dar es Salaam.”
Daniel Mbisso akitunukiwa Digrii ya Uzamifu
Joel Msami akitunukiwa Digrii ya Uzamifu
Eliwaha Msangi akitunukiwa Digrii ya Uzamifu
Margareth Ntiyakunze akitunukiwa Digrii ya Uzamifu
Sara Phoya akitunukiwa digriii ya uzamifu
Baadhi ya wahitimu wakipiga picha wakati wa mahafali hayo
Bendi ya JKT ikiongoza maandamano ya viongozi na wahadhili wa chuo hicho kuingia ukumbini
Wahadhiri na viongozi wakiingia kwa maandamano kwenye ukumbi
baadhi ya wahitimu wakisubiri kutunukiwa digrii
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Ardhi, Tabitha Siwale akihutubia katika mahafali hayo
Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Idrissa Mshoro akihutubia wakati wa mahafali hayo
Wahitimu wa Chuo Kikuu Ardhi
(ARU), wakiweka kofia kichwani ikiwa ni ishara ya kutunukiwa digrii ya
uzamili ya sayansi ya usimamizi na uchumi ujenzi, wakati wa mahafali ya 8
ya Chuo hicho, yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es
Salaam
Ni furaha iliyoje baada ya kutunukiwa
Baadhi ya ndugu jamaa na marafiki wa wahitimu wakiwa katika mahafali hayo
Waziri Mkuu wa zamani, ambaye ni Mkuu wa Chuo cha ARU, Cleopa Msuya akitoka baada ya mahafali hayo kumalizika leo
Msuya akiongoza maandamano kutoka nje baada ya mahafali hayo kumalizika
Hali ilivyokuwa nje ya ukumbi wa Diamond Jubilee baada ya mahafali kumalizika
===========================================================
MASHINDANO YA MICHEZO YA WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI YAANZA JIJINI ARUSHA
Maandamano ya mashindano ya michezo ya wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),jijini Arusha ambayo yanatimua vumbi Uwanja Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kwanzia tarehe 6 hadi 12 mwezi huu
Wabunge wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania wakifwatilia ufunguzi rasmi wa bonanza la mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kulia ni kiongozi wa timu ya bunge la Tanzania Idd Azan katikati ni Mh.mbunge Stevin Ngonyani a.k.a Maji marefu
Mbunge wa Arumeru Mashariki,
Joshua Nassari akifurahia ushindi baada ya kushinda nafasi ya kwanza
kupeperusha vema bendera ya Tanzania baada ya kuibuka mshindi mbio za
mita 100 akifuatiwa na Isaac Melley wa Kenya na Tom Aza wa Uganda
aliyeshika nafasi ya tatu.
Wabunge wa Tanzania Halima Mdee
na Ester Matiko waliendeleza ubabe wa bunge la Tanzania dhidi ya wenzao
baada ya kushika nafasi ya kwanza na pili katika mbio za mita 1,500 na
kuwaacha wenzao kutoka Uganda, Kiiza Winfred na Kangi Elizabeth
wakishikilia nafasi za tatu na nne.
Mbunge Ester Matiko wa Tanzania
akijiandaa kukimbia mbio za mita 400,ambapo aliwatimulia vumbi wabunge
wenzake kutoka Kenya, Uganda na bunge la Afrika Mashariki (Eala).
Kaimu Spika wa bunge la EALA Chris Opoka akizungumza katika ufunguzi wa mashindano hayo
Mkuu wa wilaya Arumeru Mhe Nyirembe Munasa
afungua mashindano ya michezo kwa wabunge ambapo aliwataka wachezaji
kuacha kuamini imani za kishirikina na badala yake wamtegemee Mungu
kwani michezo ni kazi kama ajira nyingine
Mkurugenzi wa KeyMedia Agency
Limited Bi Anna Lazaro akiwa na wabunge wa Tanzania leo jijini Arusha
katika mashindano ya michezo mbalimbali yaliyoandaliwa na EALA(East
African Legislative Assembly)
Katikati Mkurugenzi wa KeyMedia
Agency Limited Bi Barbra Lazaro akiwa na wabunge wa Tanzania leo jijini
Arusha katika mashindano ya michezo mbalimbali yaliyoandaliwa na
EALA(East African Legislative Assembly)
Aliyevalia t-shart ya njano ni designer mkuu wa kampuni ya KeyMedia Agency Limited Bahati Masawe akiwa na waheshimiwa Wabunge
Mbunge wa EALA kutoka nchini Tanzania Mh.Twaha Taslama akiwa anavuta kamba wakati wa mashindano ya hayo
Mbunge wa Kenya akiwa amebebwa juju baada ya kushinda katika mbio za mita 100
Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Mkoa wa Mara, Ester Bulaya akiwa anashangilia kwa furaha katika mashindano hayo
No comments:
Post a Comment