TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, January 17, 2014

BALOZI WA NORWAY ATEMEBELEA WIZARA YA MAJI

IMG_0605 
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe (katikati) akimsikiliza Baloziwa Norway (kushoto), Bi. Ingunn Klepsvik pamoja na maafisa wake na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa DAWASA, Archad Mutalemwa. IMG_0631 
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza na Balozi wa Norway, Bi. Ingunn Klepsvik.
Balozi wa Norway, Bi. Ingunn Klepsvik, jana alitembelea Wizara ya Maji na kuonana na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe.Balozi huyo alipata fursa ya kuzungumza na Prof. Maghembe kuhusu hali halisi ya sekta ya maji nchini na miradi mbalimbali ambayo Serikali ya Norway inafadhili.Bi. Klepsvik aliambatana na maafisa mbalimbali kutoka ubalozi wa Norway, huku Wizara ya Maji ikiwakilishwa pia na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Bashir Mrindoko, Kaimu Mkurugenzi wa Maji Mijini, Inj. Amani Mafuru na Mkurugenzi Mtendaji wa DAWASA, Archad Mutalemwa.


No comments:

Post a Comment