TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, January 17, 2014

WAZIRI MUHONGO KATIKA WARSHA YA UZINDUZI WA HIGH RESOLUTION AIRBONE GEOPHYSICAL DATA

pix1
Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akizungumza
na wadau wa sekta ya madini (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa
warsha ya uzinduzi wa Mfumo wa Utafiti wa Geofizikia data leo jijini
Dar es laam.Picha zote na Benjamin Sawe – MAELEZO
pix2.
Mwakilishi wa Kampuni ya Geotech Airborne Limited Malcolm
Moreton akielezea namna kampuni yake ilivyoshirikiana na Serikali ya
Tanzania kuhakikisha mfumo wa Utafiti wa Geofizikia unafanikiwa.
pix2
Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Geological Survey
Tanzania(GST) Abdulkarim H. Mruma akifafanua jambo wakati wa warsha ya
uzinduzi Mfumo wa Utafiti wa Geofizikia data leo jijini Dar es laam.

  pix3
Baadhi ya wadau wa sekta ya Jeolojia wakifuatilia mada kutoka
kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Geological Survey Tanzania(GST)
Abdulkarim Mruma (hayupo pichani) leo jijini Dar es Salaam.
pix4
Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo (waliokaa
katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa

Warsha ya uzinduzi wa mfumo wa Utafiti wa Geofizikia Data iliyofanyika

leo jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment