TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, January 18, 2014

PINDA AKAGUA ATHARI ZA MAFURIKO DODOMA

IMG_0133
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama  sehemu ya jengo  la Kituo cha Polisi cha kijiji cha Chipogoro  wilayani Mpwapwa ambayo imeporomoka kufuatia mafuriko  yaliyokikumba kijiji hicho  kufuatia mvua kubwa zianazoendelea  kunyesha mkoani Dodoma januari 17, 2014. Kulia kwake  ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dr. Rehema Nchimbi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0152
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua athari za mafuriko  yaliyokikumba kijiji cha  Chipogoro wilayani Mpwapwa Januari 17, 2014.  Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara na Mbunge wa Mpwapwa, Gregory Tewu  na kushoto kwa ni Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa,, Alfred Msovella. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMG_0161
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua athari za mafuriko  yaliyokikumba kijiji cha  Chipogoro wilayani Mpwapwa Januari 17, 2014.  Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara na Mbunge wa Mpwapwa, Gregory Tewu na kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dr. Rehema Nchimbi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0174
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua  daraja ambalo lilizibwa na  maporomoko ya maji yaliyoambatana na magogo , mawe na udongo na  kusababisha  mafuriko katika  kijiji cha Chipogoro wilayani Mpwapwa januari 17,20134. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0203 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua athari za mafuriko katika kijiji cha Fufu wilayani Chamwino, Dodoma, Januari 17, 2014.Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rehema nchimbi na kulia kwake ni Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment