Ofisa
 wa Mahusiano na Masoko wa kampuni ya ndege ya FastJet Lucy Mbogoro 
akitoa maelezo kwa ujumbe kwa Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe na 
ujumbe wake wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani kushoto kwake 
ni Mwenyekiti wa Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba.
Wafanyakazi wa kampuni ya ndege ya Fast Jet wakiwa kwenye picha ya pamoja 
Wafanyakazi
 wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa 
Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga 
duniani
Waziri
 wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya 
ndege ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo 
aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri 
pembeni yake ni Mwenyekiti wa Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba.
Meneja
 Biashara wa FastJet, Jean Uku akitoa maelekezo kwa Waziri wa Uchukuzi 
HarrisonMwakyembe kuhusiana na utendaji kazi wa kampuni hiyo wakati wa 
maadhimisho ya siku ya anga duniani pembeni ya Mwakyembe ni Mwenyekiti 
wa Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba.
Waziri
 wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya 
ndege ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo 
aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri.
 
 
 
 
 
 
 






 
No comments:
Post a Comment