TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, December 25, 2015

GO FOR ZANZIBAR (GOZA) A GERMAN NGO SUPPORTS THE WELEZO OLD AGE HOME

www.shaabanmpalule.blogspot.com
Mwenyekiti wa NGOs ya Go For Zanzibar Antje Fleischer na Meneja Mradi Mussa Khamis Baucha , wakimkabidhi msaada Mwakilishi wa Wazee wa Kijiji cha Welezo Zanzibar Mzee Kombo Shein, vyakula kwa ajili ya wazee hao ili kuweza kujimuika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismax na mwaka mpya kulia Msimamizi wa Kijiji hicho Sister Mary Gemma na Hassan Khamis hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya wazee hao welezo jana 


Mwenyekiti wa NGOs ya Go For Zanzibar Antje Fleischer na Meneja Mradi Mussa Khamis Baucha , wakimkabidhi msaada Mwakilishi wa  Wazee wa Kijiji cha Welezo Zanzibar Mzee Kombo Shein, vyakula kwa ajili ya wazee hao ili kuweza kujimuika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismax na mwaka mpya kulia Msimamizi wa Kijiji hicho Sister Mary Gemma hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya wazee hao welezo jana

Mwakilishi wa Wazee Welezo Mzee Shein, akimshukuru Mwenyekiti wa NGOs ya Go For Zanzibar Antje Fleische, kwa msaada wao na kumtaka kuwa Balozi wao huko Nje kuwawakilishi ili kuweza kupata misaada zaidi hasa gari kwa ajili ya kutembelea sehemu mbalimbali wakati wa sikukuu na kutumika kwa shughuli zao za kawaidi.

Mzee Shein akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kukabidhiwa Vyakula kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismax na Mwaka Mpya .


Sister Mary Gemma akitowa shukrani kwa Ngo’s GOZA kwa msaada wao kwa kuwajali Wazee hasa kwa wakati huu wa kusherehekea Sikukuu ya Krismax na Mwaka Mpya.

German help organization GOZA is celebrating Christmas 6 degrees south in Zanzibar together with the old people (Wazee) in Welezo Old Age Home
Since five years now the German help organization GO FOR ZANZIBAR (GOZA) NGO is supporting the Welezo Old Age Home.
Different charity offers have been done since the cooperation with the old age home in Welezo started in 2010.

The main offers in the last years were:

Renovation of two wards and improvement of the sanitary facilities
Establishing a regular medical support for the old people
Support of food, medecine, clothes, wheel chairs
Workshops in basic nursing for the nurse assistance

The donation amount in the last five years covers a budget of round 22,000,000 TSH (10,000 Euro).

No comments:

Post a Comment