TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, May 23, 2012

Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Yapitia Ripoti ya Sheria Zinazosimamia Mfumo wa Haki za Madai



Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Buxton Chipeta akitoa ufafanuzi wakati wa mkutano wa kupitia Ripoti za Sheria zinazosimamia Mfumo wa Haki za Madai jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa Mkutano wakimsikiliza Jaji Mstaafu Chipeta

Na Munir Shemweta
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania imeanza kupitia ripoti za Mapitio ya Sheria zinazisimamia mfumo wa haki za Madai kwa lengo la kufanya maboresho ya sheria hizo.
Katika Mapitio hayo Tume kwa kushirikiana na wadau ambao ni wakufunzi wa vyuo, Taasisi zinazotoa misaada ya kisheria, Wanasheria, Mawakili na Mahakimu kwa pamoja itapitia ripoti zilizofanyiwa kazi na Wataalamu washauri.
Katika mchakato huo Tume imegawa makundi manne yatakayopitia ripoti hiyo katika mikoa ya Mwanza ambapo kundi hilo linaongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Profesa Ibrahim Juma, Arusha Kamishna wa Tume Ester Manyesha, Mbeya Kamishna wa Tume Profesa Sufian Bukurura, Dodoma Kamishana Ernest Mwipopo na Dar es Salaam linaloongozwa na Jaji Mstaafu Praxon Chipeta..

No comments:

Post a Comment