TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, May 25, 2012

Ziara ya Naibu Waziri January Makamba Airtel

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia,  January
Makamba (kushoto) akipokewa na Mkurugenzi Mtendai wa Airtel Tanzania,
Sam Elangallor,  alipofanya ziara kukagua shughuli mbalimbali za
kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Mkurugenzi wa
Mawasilino\ wa Airtel, Beatrice Singano Mallya.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia,  January
Makamba (kushoto) akipokewa na Ofisa Mkuu wa Biashara wa Airtel
Tanzania, Chiruwi Walingo  alipokwenda kufanya  ziara ili kukagua
shughuli mbalimbali za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana.
Katikati ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano
Mallya.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania, Beatrice Singano
Mallya akiongozana na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na
Teknolojia, January Makamba (kushoto) katika ofisi za makamo makuu ya
Airtel  wakati wa ziara yake kukagua shughuli mbalimbali za kampuni
hiyo jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sam Elangallor (katikati)
akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia,
 January Makamba (kulia) na ujumbe wake wakati wa ziara ya naibu
waziri huyo kukagua shughuli mbalimbali za kampuni hiyo jijini Dar es
Salaam jana.

No comments:

Post a Comment