TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, May 26, 2012

ZIARA YA NAPE BUKOBA MKOANI KAGERA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimsalimia Mwenyekiti wa Chama Cha Walemavu wilaya ya Misenyi mkoani Kagera, Simon Andrea, baada ya kufungua Baraza la Vijana wa CCM wilaya hiyo, jana, May 25, kwenye Uwanja wa Mashujaa, wilayani humo. Waliosimama ni baadhi ya viongozi wa CCM na UVCCM walioshiriki ufunguzi huo.
Nape akiwa ka Katibu wa CCM mkoa wa Kagera Avelyne Mushi baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Bukoba, kuanza ziara a kikazi ya siku moja mkoani Kagera.
Nape akizungumza na viongozi katika Ofisi ya CCM mkoa wa Kagera.
Nape akitoa salam za Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kwenye msiba wa mtumishi wa siku nyingi waserikali,  Balozi, Dk. Vedasto Kyaruzi, mjini Bukoba, baada ya kwenda kwenye msiba huo wakati wa kuaga mwili wa marehemu tayari kwa mazishi yaliyofanyika jana mjini Bukoba.
Nape akikata utepe kuingia kwenye kambi ya Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM, wilaya ya Missenyi mkoani Kagera, kwa ajili ya kufungua baraza hilo la mwaka.

Vijana wa CCM waliopiga kambi hiyo ya Baraza la Vijana, Missenyi, wakimsikiliza Nape alipowahutubia.
Nape  akimkabidhi cheti Kamanda wa Vijana wa CCM mkoa wa Kagera, Dioniz Malinzi kwa kuwa mmoja wa waliowezesha kambi hiyo ya Baraza la Vijana kufanyika.
Baadhi ya viongozi kwenye kambi hiyo wakimpungia mkono Nape wakati akiondoka

No comments:

Post a Comment