Jenerali
 Ulimwenguambaye ndiye mwezeshaji  akiendelea kutoa Mwongozo katika 
mkutano wa siku mbili juu ya mabadiliko ya Tabianchi, uhakika wa Chakula
 na haki za Ardhi mkutano ulioandaliwa na Oxfam pamoja na Forum CC 
Robert
 Muthami Program Support Officer kutoka Pan African Climate Justice 
Alliance (PACJA) akitoa ufafanuzi juu ya baadhi ya mambo yanayohusu 
mabadiliko ya Tabianchi.
 Meza  ya Majaji wakiwa wanasikiliza kwa makini malalamiko ya walalamikaji kutoka Loliondo juu ya kuchukuliwa ardhi pamoja na Malalamiko kutoka Wilaya ya Kishapu.
Kushoto
 ni mmoja wa walalamikaji kutoka Loliondo akielezea kwa uchungu jinsi 
Muwekezaji alivyo wanyang’anya Ardhi yao na mpaka sasa hakuna kitu 
ambacho kinaendelea na wanahitaji kupata Msaada wa kisheria ili wapate 
rudishiwa Ardhi yao.
 Kushoto
 ni Mama kutoka Loliondo akitoa malalamiko yake Mbele ya Mahakama ya 
wazi Jinsi mwekezaji alivyochukua Ardhi, kusababisha uharibifu na akina 
mama kuteseka pamoja na wengine kuharibu Mimba zao pia kupoteza watoto 
ambapo mpaka sasa kuna mtoto hajaonekana.
 Mlalamikaji
 Mwengine kutoka Loliondo akielezea Mbele ya Mahakama ya wazi  jinsi ya 
eneo lao lilivyochukulia na mwekezaji, na kutaka agizo la Mh. Waziri 
Mkuu lifanyiwe kazi la kwamba ardhi ile ni ya wafugaji na wanatakiwa 
warudishiwe
Mmoja
 wa walalamikaji kutoka Wilaya ya Kishapu akitoa malalamiko yake mbele 
ya Mahakama ya wazi juu ya walivyo chukuliwa maeneo kwa ahadi ya 
kuyaendeleza na kuto fanya hivyo, na kuomba eneo hilo ambalo ni mashamba
 warudishiwe ili waendelee na kilimo kwa kuwa eneo hilo kuna shida ya 
njaa.
Mchangiaji
 kutoka Oxfam Bwana Marc akizungumza juu ya haki za binadamu na moja ya 
haki hizo ni haki ya kila mwanadamu kuwa na Chakula, na kuongezea kuwa 
hata Umoja wa Mataifa unafahamu hilo Pia amesisitiza kuwa ni jukumu la 
kila mtu kujua sheria za umiliki wa Ardhi
Mjumbe wa Bodi kutoka Forum CC akizungumza jambo wakati wa Mkutano huo
 Mmoja wa wachangiaji akizungumza Jambo
Washiriki wa Mkutano huo
 Mama Shujaa wa Chakula 2014 akichangia maada
 Burudani Elimisha ikiendelea
 Wadau wameguswa na kujumuika kucheza
 Picha ya pamoja
No comments:
Post a Comment