Naibu
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. 
Elisante Ole Gabriel akiongea na wahitimu wa program ya kujitolea ya 
Vyuo Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kulia ni 
Mkurugenzi Mkazi wa VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter
Naibu
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. 
Elisante Ole Gabriel aleyekaa katikati katika picha ya Pamoja na 
wahitimu wa Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu 
katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa
 VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter.
Naibu
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. 
Elisante Ole Gabriel katikati akimpa Cheti Dada Ndidi Tumpe wakati wa 
kuhitimisha Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu 
katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa
 VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter.
Picha na Benjamin Sawe
No comments:
Post a Comment