TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, December 28, 2013

DAR ES SALAAM CITY COLLEGE YATANGAZA MUHULA MPYA WA MASOMO KATIKA MWAKA WA 2014.

 Mkuu wa Chuo cha Uhandishi wa Habari na Utawala, Dar es Salaam City College(DACICO TANZANIA), Mr. Idrisa Mziray, ametangaza muhula mpya wa Masomo kwa Wanafunzi waliomaliza masomo ya Kidato cha nne na Sita kwa ajili ya Kujiunga na chuo hicho kilichopo katika Mikoa ya Dar es Salaam, Mbeya na Sumbawanga.

Akizungumzia Muhula huo mpya wa Masom Mkuu wa Chuo hicho, Bwana Mziray alisema kuwa kwa sasa nafasi bado zinapatikama makao makuu ya Chuo hicho jijini Dar es Salaam Kibamba Ccm, Mbeya Jengo la Huyole na Sumbawanga Mjini ambapo fomu zinapatiokana kwa shilingi Elefu kumi, 10,000/=

ameongeza kuwa, mbali na kozi za Uandishi wa Habari na Utangazaji pia zinapatikana Kozi za Fani mbali mbali ikiwemo ile ya Ugavi, Utawala na ningine nyingi.
 aidha Chuo hicho ambacho kina Makao yake Makuu jijini Dar es Salaam ni Chuo nyenye Manzali ya Kupendeza na pia Huduma ya Kulala(Hostel) zinapatikana maeneo ya Chuo na Usalama ni mkubwa kwa Wanafunzi Wote ikiwa ni pamoja na Huduma nzuri ya Masomo.

======================================================================

No comments:

Post a Comment