TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, December 28, 2013

KARUME: MAJUMBA YA MPAPA YANAHITAJI KULINDWA

index

 

 

Na Ali Issa MAELEZO














Rais mstaafu wa awamu ya sita wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Amani Adeid Karume amesema majumba ya Mpapa yaliyokabidhiwa wananchi 24 kutoka shehia 6 ya jimbo la bambi yanahitaji kulindwa na kutuzwa ili yaweze kudumuzaidi uhai wake. Hayo ameyasema leo huko bambi wakati alipokua akiyakabidhi njumba hizo kwa familia hizo katika sherehe za kuzifungua nyumba hizo kwa wakadhi waliopewa katika kuazimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanbar. Amesma azma ya awali ya mapinduzi ya Zanzibar ni kumpatia makazi bora mwana nchi wa ya Zanzibar ndio Rais wa awamu ya kwaza Abeid Aman Karume ni kuwajengea wananchi wake makazi hayo,hivyo azma hiyo ipopalepale na serikali haitorudi nyuma. Alisema nyumba hizo ni sehemu Ya nyumba zilizo jengwa sehemu mbali mbli za Zanzibar ijapo kluwazilisita kutokana na matukio yalio tokea miaka iliopita. Amesema majumba hayo yamemaliza na kuazia leo nihuru wananchi kuyatumia kwa kuweka familiazao

No comments:

Post a Comment