TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, December 28, 2013

EPL HABARI NYINGINE, LIVERPOO WANNE KATIKA MSIMAMO BAADA YA KULIZWA 2-1 ETIHAD, ARSENAL WAREJEA KILELENI..CITY WAPILI…HAHAHAH!


Alvaro Negredo ameifungia Manchester City bao la ushindi usiku huu  dhidi ya Liverpool na kuendeleza ubabe wao katika dimba la Etihad.
Liverpool ambao wamekuwa wapinzani wa Man City nafasi za juu katika msimamo wa ligi kuu nchini England msimu huu walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza dakika ya 24 kupitia kwa  Philippe Coutinho akipokea pasi nzuri kutoka kwa Raheem Sterling.
Lakini wenyeji walijibu mapigo katika dakika ya 31 baada ya beki wa kati na nahodha wa Man City, Vincent Kompany kuunganisha mpira wa kona uliochongwa Mhispania David Sliva.
Sherehe ya ushindi kwa City ilikuja dakika ya 45 baada ya mshambuliaji hatari Alvaro Negredo kufunga bao la pili kufuatia kazi nzuri ya Jesus Navas.
Huwezi amini mpaka saa 12 kasorobo jioni ya leo, Liverpool walikuwa kileleni mwa EPL, hivi sasa ni saa nne usiku wameporomoka mpaka nafasi ya nne katika msimamo na Arsenal wakirudi kileleni kama kawaida.
Kali zaidi wiki ijayo, Liverpool wataingia kwenye kibarua kizito dhidi ya vijana wa Jose Mourinho, klabu ya Chelsea ya London.
Baada ya mechi za leo, timu tano za juu ni kama ifuatavyo;
Pos Team P W D L GF GA GD Pts
1 Arsenal 18 12 3 3 36 18 18 39
2 Manchester City 18 12 2 4 53 21 32 38
3 Chelsea 18 11 4 3 33 18 15 37
4 Liverpool 18 11 3 4 43 21 22 36
5 Everton 18 9 7 2 29 17 12 3
City slicker: Alvaro Negredo (right) celebrates after scoring the decisive goal for Manchester City 
Raha duniani: Alvaro Negredo (kulia) akishangilia bao lake la ushindi kwa klabu yake ya Manchester City
Kikosi cha Man City usiku huu: Hart 7, Zabaleta 6, Kompany 7, Lescott 7, Kolarov 5, Y Toure 6, Fernandinho 7, Navas 8, Silva 7 (Garcia, 86), Nasri 6 (Milner 71, 6), Negredo 8 (Dzeko 76).
Kikosi cha Liverpool: Mignolet 6, Johnson 6, Sakho 7, Skrtel 6, Cissokho 5; Lucas 6 (Aspas, 81), Sterling 7, Henderson 7, Allen 6, Coutinho 6 (Moses, 67), Suarez 7.
Strike: Negredo lifts the ball over the oncoming Simon Mignolet, who made a hash of his attempted save 
Shambulizi: Negredo akipiga mpira wakati Simon Mignolet  akijaribu kuokoa
Flapping: Mignolet waves the ball into the net as Negredo (left) begins to celebrate 
Manyoya: Mignolet akijaribu kuokoa mpira uliotinga wavuni, huku Negredo (kushoto) akianza kushangilia
Jumping for joy: Samir Nasri (right) can't contain his delight as Mignolet is on his knees 
Akiruka kwa furaha: Samir Nasri (kulia)  akionesha furaha yake wakati kipa Mignolet akiwa amejipigia magoti kuugulia maumovu ya goli hilo
He knows what he's done: Mignolet is crestfallen after his error, which led to Negredo's goal 
Anajua alichofanya: Mignolet  akijutia makosa yake yaliyosababisha Negredo afunge bao zuri na la ushindi
Down and out: Negredo lies on the turf clutching his leg and eventually is replaced by Edin Dzeko 
Chini na alitoka nje: Negredo akiwa amelala chini akiugulia maumivu ya mguu na alitolewa nje huku nafasi yake ikienda kwa mshambuliaji mwingine Edin Dzeko
Good Kompany: City captain Vincent Kompany (second left) rises to head the home side's equaliser 
Kompany Mzuri: Nahodha wa City , Vincent Kompany (wa pili kushoto) akiruka juu na kupiga kichwa mpira uliozaa bao la kusawazisha 
Roar talent: Kompany (centre) screams with delight after heading City level 
Kipaji cha juu: Kompany (katikati) akishangilia bao lake na wachezaji wenzake
Tussle: Joleon Lescott (left) and Luis Suarez grapple for possession of the ball 
Huendi mzee:  Joleon Lescott (kushoto) na  Luis Suarez wakigombania mpira
Trying to get away: Suarez attempts to break clear of Lescott with Yaya Toure (centre) trailing 
Anajiribu kutafuta njia: Suarez akijaribu kupasua njia pembeni ya  Lescott  huku  Yaya Toure (katikati) akiunga `traila`
Doubling up: Jesus Navas (left) and Pablo Zabaleta (right) combine to stop Aly Cissokho 
Wawili jamani!: Jesus Navas (kushoto) na Pablo Zabaleta (kulia) wakiungana kumzuia Aly Cissokho

No comments:

Post a Comment