TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, December 28, 2013

DAVID MOYES AENDELEA KUPATA FARAJA BAADA YA MAN UNITED KUSHINDA 3-2 UGENINI..ARSENAL, CHELSEA ZAFUFUKA TENA,..SPURS NGOMA DROO!!

Manchester United wametoka nyuma kwa mabao 2-o na kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Hull  City katika dimba la KC, huku shukurani za pekee zikimwendea mchezaji wa zamani wa mashetani wekundu,  James Chester aliyejifunga bao la tatu na kuizamisha klabu yake ikiwa nyumbani.
Hata hivyo James Chester ndiye aliyekuwa wa kwanza kuiandikia kimiani bao la kwanza  klabu yake ya Hull dakika ya nne tu ya mchezo huo baada ya kazi nzuri ya Alex Bruce.
David Meyler katika dakika ya 13 aliandika bao la pili kufuatia makosa ya mabeki wa Man United, lakini mashetani wekundu walikuja juu na katika dakika ya 25  Chris Smalling alifunga bao zuri kwa njia ya kichwa akimalizia kazi nzuri ya Wayne Mark Rooney.
Dakika moja tu baadaye, Rooney alitinga tena nyavuni na kusawazisha bao la pili.
Man United walimaliza kazi katika dakika ya 646 baada ya James Chester kujifunga mwenyewe akiunganisha mpira wa krosi wa Ashley Young  na kumpa ushindi wa bure David Moyes.
Time to celebrate: Man United have moved to within five points of leaders Liverpool having played a game more 
Muda wa shangwe: Man United wamesogea mbele baada ya ushindi wa leo
All white on the night: The own goal came from Ashley Young's cross midway through the second half Tumemaliza?: Wachezaji wa Man United wakishangilia bao lao la tatu ambalo Hull walijifunga kutokana na krosi ya Ashley Young
Head in hands: James Chester turns from hero to zero after scoring the decisive goal in the second half  
Mikoni kichwani, umeharibu baba!: James Chester akijifunga bao na kuizamisha Hull leo dhidi ya Man United
 
David Moyes amepumua
Mchezo unaoendelea kwa sasa ni baina ya Manchester City dhidi ya Liverpool katika dimba la Etihad, na mpaka dakika ya 30, Majogoo wako mbele kwa bao moja lilolofungwa na Philippe Coutinho
MATOKEO YA MECHI ZILIZOMALIZIKA; 
England: Premier League 
 
   
Finished
 
 Hull
2-3
Manchester United 
 
(2-2)        
   
Finished
 
 Tottenham
1-1
West Bromwich Albion 
 
(1-1)        
   
Finished
 
 Norwich
1-2
Fulham 
 
(1-1)        
   
Finished
 
 Newcastle United
5-1
Stoke 
 
(1-1)        
   
Finished
 
 West Ham
1-3
Arsenal 
 
(0-0)        
   
Finished
 
 Everton
0-1
Sunderland 
 
(0-1)        
   
Finished
 
 Chelsea
1-0
Swansea 
 
(1-0)        
   
Finished
 
 Cardiff
0-3
Southampton 
 
(0-3)        
   
Finished
 
 Aston Villa
0-1
Crystal Palace 
 
(0-0)        
   
30′
 
 Manchester City
0-1
Liverpool 

No comments:

Post a Comment