WARSHA YA UTAARISHAJI MKAKATI ITIFAKI YA SOKO LA PAMOJA LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFANYIKA ZANZIBAR KATIKA HOTELI YA ZANZIBAR BEACH RESOURT MBWENI.
Mkurugenzi
Msaidizi Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za uzalishaji Wizara ya
Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Abdullah Makame akimkaribisha mgeni
rasmi Katibu Mkuu Afisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Zanzibar Salum
Maulid Salum (kati kati) kufungua warsha ya utaarishaji mkakati Itifaki
ya soko la pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki. Wakwanza (kushoto)
Makamu wa Rais wa Chamber of Commerce Zanzibar Ali Aboud Mzee.
No comments:
Post a Comment