Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akitoa hotuba yake katika hafla ya chakula cha
jioni iliyoandaliwa na Hassan Maajar Trust yenye lengo la kukusanya Sh.
milioni 500 ili kuununua madawati 6000kwa ajili ya wanafunzi wenye
ukosefu wa vifaa hivyo iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa Diamond
Jubilee jijini Dares Salaam.
PICHA ZOTE NA MAGRETH KINABO, MAELEZO
No comments:
Post a Comment